Matthew 19:13

Yesu Awabariki Watoto Wadogo

(Marko 10:13-16; Luka 18:15-17)

13 aKisha watoto wadogo wakaletwa kwa Yesu ili aweke mikono yake juu yao na awaombee. Lakini wanafunzi wake wakawakemea wale waliowaleta.

Copyright information for SwhNEN